Pages

Jumapili, 8 Januari 2017

AUDIO: DAKIKA 3 ZA TIDDY HOOTER' KUJIBU TUHUMA ZA WIZI WA BEAT NA KIITIKIO CHA WIMBO WA BEN POL "PHONE"

January 6 2017 msanii wa Bongofleva Ben Pol aliachia rasmi wimbo wake mpya aliyoshirikiana na Mr Eazi wa Nigeria, Ben Pol na Mr Eazi wamefanya collabo ya wimbo unaitwa ‘Phone’ producer akiwa ni Tiddy Hotter.  
Ben Bol ameeleza sababu za kufanya wimbo na Mr Eazi kuwa ni kujenga fan base upande wa Afrika Magharibi.
Lakini  kwa upande  mwingine  baada ya  wimbo huu kutoka   pRoducer  mwingine  kutoka  Kenya  wa kuitwa SAPPY ALie  fanya  XO Ya Joh Makini, alidai  idea ya  wimbo huo ni yake  na walishafanyia  kazi  so Ben Pol  na Tiddy Hooter  wamemwibia  mdundo  nao  kiitikio  cha  wimbo  wa  PHONE.
 

Kupitia  kipindi  KEYBASE cha keyfm radio  kwa  upande wake  Tiddy  Hooter  anadai  "Sappy  anatafuta  kiki  tu  na  hata  hizo  video fupi  anazo zisambaza  anaonekana akiwa offin kwangu  na kama wadogo zangu  huwa  nawaachia  wanachezacheza pale studio"

0 maoni:

Chapisha Maoni