Mwanamuziki na mtayarishaji maarufu wa Marekani, Pharrell Williams na mkewe, Helen Lasichanh wamepata mapacha watatu.
Hakuna taarifa za jinsia na majina ya watoto hao zilizotolewa. Williams na Lasichanh, waliofunga ndoa October 2013, tayari wa mtoto wa kiume mwenye miaka minane aitwaye, Rocket Ayer.
Lasichanh, mlimbwende na mbunifu wa mitindo na Williams, 43, walikuwa pamoja kwa miaka mingi kabla ya kufunga ndoa.






0 maoni:
Chapisha Maoni