Pages

Jumatano, 4 Januari 2017

AUDIO: BREEZY AMUONESHA SOUJA BOY UBABE BAADA YA KUACHIA HII NGOMA AKIRAP, " Chris Brown – 500 Wayz Ft Young Lo & Young Blacc"

Image result for CHRIS BROWN BEEF WITH SOULJA BOY

Najua  sio mgeni  kwa mwimbaji kama chris Brown kumuona  akirap  ila ni ngumu kupata   kusikia rapper Soulja Boy  akiimba kama umemsikia  basi atakuwa ni  drake huyo?Hmm. 

 Image result for CHRIS BROWN BEEF WITH SOULJA BOY

Anyway, tuachane  na hayo ila stori  ni kwamba Chris Brown  hajapenda kitu  kilichotokea  kwa   Soulja Boy baada kulike  picha iliyopostiwa na  Karrueche kwenye Instagram yake .

Image result for SOULJA BOY LIKE KARRUECHE'S PICS kwa mujibu wa Soulja anadai alipigiwa simu  na Chris  na kutishiwa  kupigwa  endapo ataendelea kulike  na kuwasiliana  na Karrueche.

 na hapo ndipo  beef lilipo  chanua na soulja  boy akaandika  kupitia  twitter  soulja-boy1

 lakini kupitia instagram pia  ali post video fupi alisikika  akisema ‘kisa ulimpiga Rihanna unadhani unaweza kumpiga kila mtu, mimi nitakupiga" 

Chris Brown alitumia ukurasa wake wa Instagram kumwambia Soulja boy aache unafiki, aache kuongelea stori za Rihanna kwasababu huu ni mwaka mwingine hayo mambo yalishapita na kama vipi yeye ataandaa mchuano wapigane kabisa kama ndicho anachotaka. 

lakini  wakati  ishu  hizo zina endelea za  beef  na soulja boy kuhusu  mrembo Karrueche, mapema 3January 2017  Breezy  amejibu kwa kuachia ngoma  nyingine tena.

 CB ameunganisha  nguvu na kundi la OHB ambapo ndani  yake  kuna  Young Lo na  Young Blacc  ngoma inaitwa ‘500 Wayz’  na  hapa Chriss ameonesha tena  uwezo  mkubwa alio nao wa kurapp. download hapa chini

 DOWNLOAD  Chris Brown – 500 Wayz Ft Young Lo & Young Blacc

0 maoni:

Chapisha Maoni