Pages

Jumatano, 4 Januari 2017

STAR PEKEE MWEUSI AMBAE AMEONESHA KUWATAYARI KUTUMBUIZA SIKU YA KUAPISHWA TRUMP.




January 20  ndio  siku  ya  kuapishwa  kwa  Rais  wa  Marekani  ambaye  alichaguliwa  mwishoni mwakajana  licha  ya  kuwa  na  vikwazo  vingi  kutoka  sehemu  mbalimbali  akiwemo  Rais  Obama.

Licha wasanii  kupewa  nafasi  ya  kutumbuiza  katika  sherehe hizo  lakini  kila  mmoja  ameonekana  akichenga  mchongo  huo na  Inaonesha  wanamuziki  karibu  wote hasa  weusi hawapo tayari.

Ni mwimbaji  mmoja  tu  ane  itwa  REBECCA FURGASOAN  ndie alie onesha  nia  ya  kuwepo  na kutumbuiza  katika  sherehe  hizo .


"If you allow me to sing ‘strange fruit’ a song that has huge historical importance, a song that was blacklisted in the United States for being too controversial,”
 “A song that speaks to all the disregarded and down trodden Black people in the United States. A song that is a reminder of how love is the only thing that will conquer all the hatred in this world. Then I will graciously accept your invitation and see you in Washington.” Alisema


0 maoni:

Chapisha Maoni