Pages

Jumatano, 18 Januari 2017

BUSH NAE AKACHA KUTOKEA SIKU YA KUAPISHWA KWA TRUMP

 Image result for george bush  letter to trump
Mbali na mastaa tofauti tofauti  kuonesha wazi  hawapo tayari kuhuzuria wala kutumbuiza katika sherehe  za kuapishwa kwa Rais mteule wa Marekani  Donald Trump.

 Mapema wiki hii  kuna barua  ambayo inasambaa katika mitandao mbali mbali  ambayo imeandikwa  na  Rais mstaafu  wa Marekan  GEORGE HW BUSHI  akieleza yakuwa   hatoweza  kuhuzuria  katika sherehe hizo  zitakazofanyika January 20kutkana  na kuwa  chini  ya uwangalizi wa Daktari.

Mr Bush  mwenye  umri  wa miaka 92 amesema  hayupo sawa kiafya kwa mwezi huu.  

 "My doctor says if I sit outside in January, it likely will put me six feet under."  aliandika Rais huyo wa 41 wa Maerekani 

"So I guess we're stuck in Texas."

0 maoni:

Chapisha Maoni