Pages

Jumapili, 22 Januari 2017

Kanye West anajiandaa kuwapa Surprise mashabiki wake hivi karibuni

 2016 MTV Video Music Awards - Show & Audience
mwaka uliopita  haukuisha  vizuri  kwa Kanye West , Last March,aliahid  kuachia albam tatu  lakini  tuliona project  moja tu kutoka  kwa  Boss huyo wa G.O.O.D. Music.

 Kanye Alijikututa yupo hospital baada kujilazimisha  kufanya  kazi  bia kupumzika  katika Tour zake 86 za  Saint Pablo .

Lakini  2017  ni mwaka  mpya  na wenye  fusa  nyingi. baada ya kupata  mapumziko ya kutosha , kuwa tayari Yeezy  anaweza  akadondosha new tunes.

Maana tangu  atoke hospital  amani  ilipatikana  kidogo tu tuliposikia  verse katika  kazi  ya  shemeji  yake  Tyga“Feel Me.”

Inawezekana ‘Yeezy  akawa anadaa   surpris kwa mashabiki  wake  tena sio moja tuu  ni zaid ya  surprise .

“Kanye anakuja  na surprise projects ikiwa ni  muziki  na concerts katika  majira ya  spring and summer. akijumuisha na kazi zake za fashion line  na collaborations,”  chazo cha habari kiliiambia  mtandao wa E! News.

Baada ya  kufuta ile tour yake ya  Saint Pablo nakubakiza  baadhi ya miji  U.S.,pia alifuta  ile ya Ulaya mwezi December.
Sasa  West  yupo tayari  kuludi tena  . “Kanye wants to finish the tour. He loves his show,” chanzo cha habari . “He wants everyone in the world to see it.”

0 maoni:

Chapisha Maoni