Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kutangaza jina la Album yake
mpya Rapa Dj Khaled ameamua kutangaza jina la Album hiyo ambayo
inasubiriwa kwa hamu na Mashabiki.
Dj Khaled kupitia ukurasa wake wa Instagram ametaja jina la Album yake kuwa ni ‘GRATEFUL’ kwa kuandika “Fan luv #GRATEFUL for your luv ! So I named my new album #GRATEFUL 🙏🏽🔑🙏🏽”
Hata hivyo Baba Asahd hajasema ni lini tarehe ya Album hiyo
kutoka,lakini amewaahidi mashabiki wake kuwa wawe na Subira kwani Album
hiyo itakuwa ni Moto wa kuotea mbali.






0 maoni:
Chapisha Maoni