Na Alexx Mwenda
Mchezaji wa zamani wa Afrika Kusini na Nahodha wa timu ya taifa ya
mchezo wa Rugby Joost van der West-huizen amefariki akiwa na miaka
45, kwa ugonjwa wa motor neurone.
Alikuwa nahodha wa Springboks
kwa miaka minne, Van der West-huizen alishinda Kombe la Dunia
Van der West-huizen amepatwa na umauti akiwa hospitali mjini Johannesburg siku ya Jumamosi.







0 maoni:
Chapisha Maoni