Pages

Jumapili, 29 Januari 2017

IFAHAMU GYM WANAYOFANYA MAZOEZI UCHI,IKO WAPI, SABABU ZA KUWA HIVI ZIKO HAPA

Na Alex Mwenda Bi
Hellen Smith tokea jiji la Southampton Nchini Uingereza ameanzisha Gym ambayo watu wanafanya mazoezi wakiwa UTUPU (Uchi).

Ndugu mdau wetu  wa Kwata Unit Blog Kwenye Gym Hii watu ambao Huingia ni wenye Umri kati ya miaka 33 mpaka 70 na ni mke na mume.(Wapenzi / wanandoa)


Akiongea moja kati ya sababu za yeye (Helen Smith) Kuanzisha Gym ya aina hiyo amesema husaidia wafanya mazoezi kuona vizuri kila anachokifanya  mwongoza mazoezi  (Instructor), Na hivyo kusaidia kufanya kile kinachotakiwa kufanywa.

Vipi mdau wetu wa GIMMIE CHURC BOY ikitokea kibongo bongo napo ikatokea utakubali kwenda na mpenzi wako kwenye Gym Kama Hii? Like Page yetu ya Facebook upate uhondo kama huu kila siku Bonyeza Hapa < 




0 maoni:

Chapisha Maoni