Pages

Alhamisi, 19 Januari 2017

Rais Magufuli ateua mabalozi sita kuwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali

Image result for magufuli leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, Alhamisi hii ameteua mabalozi sita kuwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali.

Katibu Mkuu kiongozi, Balozi John Kijazi amewataja Mabalozi walioteuliwa pamoja na vituo vyao vya kazi.


0 maoni:

Chapisha Maoni